Tuesday, August 9, 2011

MADAWA YA KULEVYA

jamii inaendelea kutafunwa na janga zito ambalo kila kukicha linasababisha dhahama kubwa kwa maendeleo yetu kuanzia ngazi ya familia na hata taifa kwa ujumla. Ni nani wa kulaumiwa, hapana shaka hakuna mchawi wa hili ila ni jamii yetu husika ndiyo kikwazo kwa kulea uozo wa namna hii. Hakika MAADILI mema ndio msingi wa jamii endelevu! Maadili mema huanzia ngazi ya familia, kwa maana hiyo hata mmomonyoko wa maadili huanzia katika ngazi ya familia! Lengo la kuipa mzigo familia

No comments:

Post a Comment